Idris Sultan alikuwa anatarajia watoto mapacha ? haya ndio aliyoandika

Usiku wa February 16 kuamkia February 17 jamaa ambaye jina lake lilizidi kukua baada ya ushindi wa shindano la Big Brother Idris Sultan, aliingia kwenye headlines baada ya kupost picha Instagram yenye watoto mapacha, lakini aliambatanisha picha hiyo na maneno ambayo yanaonesha huzuni ya kupoteza watoto mapacha. Idris aliandika ujumbe unaosomeka kwa lugha ya kiingereza, lakini tafsiri yake ni kuwa alikuwa anatarajia kupata watoto mapacha ila ujauzito umeharibika wa muhusika aliyetarajia kuzaa nae.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

Disqus Shortname

Comments system