Harmonize azungumza kuhusu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanadada Huddah

Harmonize azungumza kuhusu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanadada Huddah 

 Harmonize alikanusha kuwepo kwa mahusiano yake na mwanadada huyo japokuwa walisha wahi kukutana katika harakati za kufanya kazi lakini hawana mahusiano ya kimapenzi. Amesema kuwa Huddah ni miongoni mwa wanawake wazuri lakini sio kweli kuwa wanamahusiano ya kimapenzi bali wana project ya pamoja ambayo wanatarajia kuifanya siku za karibuni.

Lakini kipindi cha nyuma wawili hawa walionekana kwenye video ya pamoja wakiwa wanapigana mabusu huku Huddah akionyesha na kusema anahisi aibu.

 

 



Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

Disqus Shortname

Comments system